المدة الزمنية 2:24

MAAMBUKIZI YASHUKA ITALIA,SUDAN KUSINI YATHIBITISHA KISA CHA KWANZA

بواسطة Mwananchi Digital
426 مشاهدة
0
3
تم نشره في 2020/04/06

Sudan Kusini imeripoti kisa chake cha kwanza cha virusi vya Corona. Nchi hiyo ni moja ya nchi za mwisho za Afrika kuthibitisha uwepo wa ugonjwa wa COVID 19 ndani ya mipaka yake. Akizungumza na waandishi habari mjini Juba makamu wa rais Riek Machar amesema mtu wa kwanza alieambukizwa virusi hivyo ni mwanamke aliye na miaka 29 aliyeingia Sudan Kusini akitokea Uholanzi kupitia Ethiopia tarehe 28 Februari.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 0