المدة الزمنية 6:30

HII NDIO GARI AINA YA FIAT, NI BALAA INA GIA TISA INABEBA MZIGO MKUBWA, DEREVA AIELEZEA

بواسطة Millard Ayo
76 022 مشاهدة
0
538
تم نشره في 2021/06/09

Gari aina ya Fiat ni miongoni mwa gari za zamani ambazo zina nguvu sana kutokana na uwezo wake wakubeba mzigo mkubwa,dereva anayeendesha gari hiyo amesema ina gia tisa ukijumlisha na revised

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 144
  • @
    @muddychanga7909منذ 3 سنوات Inaitw 682 N3 torino fiat.A.k.a mbaula,mkasi juu mkasi chini,kula laik wazeee wenzang wa ngoma ngumu,w wazeee wa popo umetukuna ipasavo axe,usiku ndo mida id="hidden2" class="buttons"> yetu,mchana tunapak tunaenda kula bata kwa sokota,ucku kama mchana vile,mwandish uje Azam tunakupa na uendesh kbxa,ila kumbuka kuja na kidum cha diesel tu. ....وسعت 21
  • @
    @makuzaeliud7036منذ 3 سنوات Kwajinsi ninavoijua hii mashine hakii,
    Dereva hakuitendea haki katika maelezo na kuielezea, hii kitu inabeba mzigo inapita rafu load inapanda milima id="hidden3" class="buttons"> yaani kazi juu ya kazi a,k,a MBAULA. Saluti kwa mtaliano kutengeneza hii kitu
    ....وسعت 8
  • @
    @wellbrand3415منذ 3 سنوات Hatariiii
    Muitalia alipiga kazi kuiunda hiyo mashinee
    7
  • @
    @gerkombo6512منذ 3 سنوات F.I.A.T meaning = Fabbrica Italiana Automobili Torino, hiyo chuma magari mengine yote yanaipigia salute. 34
  • @
    @passianmaningi8479منذ 3 سنوات Waooo Asante sana mmenikumbusha mbali sana 1
  • @
    @junioryasin5306منذ 3 سنوات Wazee wa ngaramton ya juu karb na olmtony 3
  • @
    @jejofurniture285منذ 3 سنوات hii gar ni noma inaweza kubeba hata mara 2 1
  • @
    @mejalomayani1606منذ 3 سنوات naikumbuka maeneo ya nading'oro na kitaakuu 4
  • @
    @ramaturuku863منذ 3 سنوات Gari still sana hiyo, ina sifa nyingi mnoo sema dereva kidogo hafunguki,hajaichangamkia kuichambua. 3
  • @
    @petronzengelele7137منذ 3 سنوات About noise engine yoyote inayotumia diesel lazima itoe noise 1
  • @
    @braystuskibassa3077منذ 3 سنوات Nakubali sana hizo chopa kama vile Mafinga
  • @
    @ezekielloylepayon5042منذ 2 سنوات Nadung'oro zinaenda beba magogo mjomba wangu ni dereva mmoja makini sana
  • @
    @mejalomayani1606منذ 3 سنوات namkumbuka huyu dreva juma tukiwa donyo sambu maeno ya flota 5
  • @
    @richardmwandali7722منذ 3 سنوات Mfumo wa Massey fagason 1 high moja low nomaaa AAA 1
  • @
    @sankofaman4112منذ 3 سنوات Kichefuvhefu. Speed mia mpaka uipige free.
  • @
    @freduallughano2301منذ 3 سنوات Wasomali walizipenda sana hizi kama zimetoka kwao vile,mbeya kuna sehemu inaitwa mafiat zilikuwa zinapaki eneo hilo nyingi.
  • @
    @josephkauki6094منذ 3 سنوات Iyo ni diesel engine ndo maana inatoa sauti kubwa kutokana na vibration 1
  • @
    @hasanissantambarasamata3419منذ 3 سنوات Izo gari kwetu mbeya zamani walikuwa wanaendesha wasomari tu walikuwa wanavua hadi mashati 1
  • @
    @husseinmarusu4359منذ 3 سنوات Kuna mzungu pori na Mwafrika pori oooh hizo ni shida pale chuga
  • @
    @saleheinnocent7636منذ 3 سنوات "Nimejifunzia gari hi hii, Sijawah Endesha gari Nyingine" 1
  • @
    @edinaikunda1259منذ 3 سنوات Huyu dereva hajaitendea haki kuielezea fresh aisee.ivi anaelewa shughuli ya chuchu mbili pale mbele kwa chini.vipi kuhusu honi ya mbaula.a class="buttons">tariii.hiyo inapigwa kwa mguu mzee achakabsa huo mzigo sio wakitoto.nataman huyo mwandishi angekutana na mimi nahisi angenitafuta zaid na zaidi bna ....وسعت 3
  • @
    @mwadhinjuma8883منذ 3 سنوات Ila hao walio kaa mbele ya maggo nihatar kwao 1
  • @
    @bonaventuremabula4113منذ 3 سنوات hizo ndio ngoma zangu. naztengeza pale gereji kwetu. 2
  • @
    @husseinkarim6745منذ 3 سنوات Msgari ya zamani hayo fiat 682. Hayo yalikuwa wakati wa kwenda Zambia hasa na wasomali.
    Halafu hao watu wanakaa juu ya magogo au juu ya cabin ni hatari kama gari ikipata ajali.
    1
  • @
    @mdl6463منذ 3 سنوات Gari naliona sawa lakini siliamini kabisa 1
  • @
    @amirikoshuma3039منذ 3 سنوات Wewe umeanza kuijua fiat leo ikibeba gogo nyingi ivyo Sasa zipo Masai fagasoni na benzi za kizamani 1
  • @
    @edinaikunda1259منذ 3 سنوات Wapi states bazooka,,hamisi darumenda.hao walikuwa madereva wa iyo kitu bna.mitaa ya ngarenaro apo..
  • @
    @nas9071منذ 2 سنوات “Number moja Ndio inanguvu au hii ni tofauti?” Huyu chalii wa wapi asee.
  • @
    @burudaninamatukio5389منذ 3 سنوات Kwanini Fiat huwa haifeli brake au hazishindwagi kupanda mlima? 1
  • @
    @kelvinmgwattu184منذ 3 سنوات Unatusogezea vitu vya nyumban kabisaaa,izo ndinga zipo nyingi kwa mromboo zinaenda mirongo ata wajeda wanapandaga wakienda kambini
  • @
    @machiavelshakur8939منذ 3 سنوات Hii gari mbona naijua inetaga magogo huku kwa M/Chai Kwa Aloyce
  • @
    @kingtv5600منذ 3 سنوات Kama umeona hi video upo kilosa na hizo gali kwetu zipo gonga link
  • @
    @capteinchuimchafu7894منذ 3 سنوات Kiukweli mmi nilovyokuwa mdgo Kila nikiiona hii gari kwakwel nilikuwa nakimbia balaaana mbya hyo mimacho yake mbele ilivyo
  • @
    @meleckzedecklaurence6254منذ 3 سنوات Hii sindo ile inaenda forest Ngaramtoni?? 12
  • @
    @alexmihayo5723منذ 3 سنوات .Fiat aka mbaula,iyo ukianza kuiendesha mnene(kg90) Ukija kukabidh mwembamba(kg45)..maamaaye!!! Kona mnakata watu wa2 10
  • @
    @fadhiliswidhun9779منذ 3 سنوات Dereva hana wenge hata akpewe scania mpya ataitunzaa
  • @
    @freduallughano2301منذ 3 سنوات Kuna mdogo wake anaitwa FIAT 110 tani 7 kuna basi ziliitwa mawenzi zilikuwa na injini ya fiat 110
  • @
    @wellnaton6013منذ 3 سنوات Waliotengeneza Fiat ndio Waliotengeneza Ferrari, Bugatti 2
  • @
    @elishameshack5561منذ 3 سنوات Inanikumbushia nilipokuwa mdogo olmotonyi forest. Hii gari ikiunguruma nilikuwa nakimbia . 4
  • @
    @tanzaniacarschannel6975منذ 3 سنوات Is very unfortunate anae hoji ajui namna ya kuhoji issue za magari. Huyu alitakiwa a hoji technical issues za hii gari zinazo itofautisha latest malori.. id="hidden6" class="buttons"> mfumo wa injini na giabox na pamoja na uimara wa axle., Mifumo ya brake na ubora wake ukilinganisha na wa leo. Pia kama ingewezekana angeuliza matoleo mengine yalio fuata kama fiat iveco. ....وسعت 3
  • @
    @geographyteacher.2961منذ 3 سنوات Hii gari nilikutananayo njia ya Olmotonyi forestry kuja Ngaramtoni. Ukiiona unaweza kimbia. 1
  • @
    @sarananyaro9089منذ 3 سنوات Huyo dereva ni mjomba wako?mnafanana kweli,vichwa mviringo 1
  • @
    @sostenfestor2369منذ 3 سنوات Hii gari sio poa hiyo mzigo inabeba na hiyo milima inapanda haifai kabisa
  • @
    @denissemfuko3373منذ 3 سنوات Hizi gari zilikuwa zinapaki eneo moja mbeya hapa ambalo sasa nikituo cha mafuta.. Hilo eneo kwa sasa ni maarufu kwa jina LA MAFIATI. 10
  • @
    @ahmadhamis5134منذ 3 سنوات Inaitwa fiat 682 mkasi juu mkasi chini 1
  • @
    @mwigakatumpula9817منذ 3 سنوات Hiyo gari ina uwezo mkubwa Sana na kumbuka kipindi naiendesha maana nilikuwa niki ikimbiza Sana mwishoe inaanza kuruka juu 2
  • @
    @ibrahimjoseph9417منذ 3 سنوات Tafuta mtaalam na wakongwe wa hiyo gari utaifurahia huyo dereva anaijua hiyo gari ila hawezi ielezea maana hajui gari zingine nachojua kuna mahali hiyo gari inapanda na mzigo Scania hauendi
  • @
    @zedekiannyagawa3521منذ 3 سنوات huyo aliyekaa juu ya magogo amejitoa ufahamu 1
  • @
    @shinipapaya846منذ 3 سنوات Niwe mkweli hakuna tv ninayo ichukia kama hii yaani waweke billion 90 za Somalia na hii tv naichukua hii tv pasipo kupepesa macho yangu mimi nilij id="hidden8" class="buttons">ua anaenda kuhoji hiyo shehena ya kikausha misitu yetu kisha kila siku tunalia na ukame mara oh mito inakauka wakati hao ndio chanzo acheni kukata miti ovyo sasa swali kwenu nyie vitv uchwara hivi mimoyo yenu haijaogopa kuona hiyo migogo? Daa RIP mzee baba nakupa salaam Tanzania yetu pendwa tayari tupo kwenye chukuwa chako mapema iwezekanavyo ....وسعت
  • @
    @vicentflavour9992منذ 3 سنوات Kila siku unawahoji watu wa chuga Tu bro shida nini shida nini 1
  • @
    @rogersdavis3058منذ 3 سنوات Kuna watu wanasemaga dereva wa fiat ni mwembamba hahahah
  • @
    @willyngowi3162منذ 3 سنوات Higari inasifa nyingi sana dereva haijui vizuri huyu
  • @
    @edinaikunda1259منذ 3 سنوات Achakabsa dereva hana mzuka kivile katika kuielezea hiyo mashine bna..mkasi juu mkasi chini inaitwa kisusio bna.hapo kwenye kibin unaeweza kuchemsha id="hidden9" class="buttons"> chai bna. kwenye accl.plate unaweka kipande cha tofali baada yakumaliza gears mzee.duh kumbuka mbali sana ....وسعت 1