المدة الزمنية 2:36

INASIKITISHA WATANO FAMILIA MOJA WAUAWA KIKATILI

بواسطة Erasto Mashauri
78 مشاهدة
0
0
تم نشره في 2022/01/23

Watu watano wa familia moja wakazi wa kijiji cha Zanka wilayani Bahi Mkoa wa Dodoma wameuawa na watu wasiojulikana. Waliouawa ni mume, mke, watoto wawili na mjukuu mmoja wote wa familia moja. #Subscribe #MyChannel #ErastoMashauri

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 0