@paidenasra4548منذ 3 سنواتOngera sana Fred. Nimeiba jina lako la Vunja Bei nimeandika kwenye genge langu uku Mozambique. 3
@
@sharinv8864منذ 3 سنواتBaba level hahaaa umetengeza usiku wangu shikia hapo kaka watu wanakudharau nawewe unaendelea mbele. 6
@
@christabella241منذ 3 سنواتSafiii san kbsa ni mwelevu kumbe hivo fred vunja beyi 7
@
@Sppah697منذ 3 سنواتBaba levo hiyo style ya nywele imekuww unic imeekuwa ndo identity ysko! 3
@
@jossyjosphin2587منذ 3 سنواتYeeyy..watu wa deco kutoka nrb kenya..oyeee
@
@sweet16honey75منذ 3 سنواتMimi napenda Baba levo huwa asemi uwongo ana mwagaa wazi 2
@
@0712939973منذ 3 سنواتHuyu mwamba namkubali sana anajiamini akiongea yan hua napenda sana interviews zake 3
@
@valenakomba4453منذ 3 سنواتWatanzania walikuwa wamelala jamani, sasa ndo wameamuka . eeeh, Asante Mungu. 1
@
@Gift-cx1uoمنذ 3 سنواتIla baba levo me nakupendaga coz sio muongo na unajua kushukuru 4
@
@nancymaina9188منذ 3 سنواتYaani mobetto ana damu ya kuchukiwa ♀️ 2
@
@zou7470منذ 3 سنواتIla baba levo we nikituko kwakwel but huwa unanivunja mbavu 3
@
@aminanamoyo83منذ 3 سنواتFred unani inspired sana huyo kaka huko nyuma ya fred ni bodyguard au mpambe nimeuliza maana naona anasinzia sijawahi ona bodyguard anasinzia 6
@
@mandyuwimana7735منذ 3 سنواتSisi tume isha elewa sanaa. Hamisa uko na Vunja Bei sawa ? Ishi maishq yako bilq uwoga. Sio ikuwd mugu umoja ndani ungine inje. Kwa Mond uliza ibqki story awo sio !! Muache kutu changanya.✌️✌️ 4
@
@rhoidakippa163منذ 3 سنواتCarrymastory naomba unisaidie nataka kumuona vunja Bei jamanii
@
@sabinaonline6575منذ 3 سنواتDuu keeli wcb waongo huyo baba levo kea mbwembwe zote zile za gari alafu kapokonywa anasigizia eti kauza bonge la muvi 1
@
@fredmabeyaمنذ 3 سنواتwatu wa decor hutoka nairobi? kweli wakenya tuko mbele in decor designs 2
@
@wivinemwamini9110منذ 3 سنواتHamisanayehana bahati warigombania nini vituyadunia tuta acha hapa
@
@sakinaabdallah7713منذ 3 سنواتYou have to be carreful nahuyu babalevo kwani hizo ndo fitna kubwa 1
@
@rozeypwizzy6472منذ 3 سنواتvunja bei namkubal sana interview zake 1
@
@christabella241منذ 3 سنواتMbona hukumuuliza kuusu mahusiano yake na hamissa mobeto 1
@
@marynderu9846منذ 3 سنواتAky fred nawezakumeza ukae kwa tumbo yangu,kwa hiyo story ya babalevo umeongea kimwaname
@
@nadrahassan5241منذ 3 سنواتSasa vitu vyake Whozu una muuliza Hamisa
@estherminnahboaz6956منذ 3 سنواتChakuchekesha gmodol na rich mitindo wote wamemla wolper na hawana habari
@
@achawanunetv1167منذ 3 سنواتKONDEBOY JESHI NDIE MSANII MKUBWA IN TANZANIA KWA SASA KWASABABU YEYE NDIE ANAITANGAZA NCHI YETU KIMATAIFA KUPITIA MZIKI MZURI ANAOUFANYA 5
@
@rhoidakippa163منذ 3 سنواتJamani mie nipo ruvuma lkn nawaombeni waandishi mnisaidie nataka mimuone uso kwa uso vunja bei
مقاطع الفيديو ذات الصلة على FRED VUNJABEI AINGILIA BIFU LA HAMISA MOBETTO NA WHOZU/WAMEGOMBANA HAWAONGEI/KUFUNGUA CLUB SOUTH:
Unanifurahishaaa nachekaga tuuu 3