المدة الزمنية 2:47

Alikiba arusha dongo ‘Sema kimeumana (kwa sauti)’

بواسطة Simulizi Na Sauti
32 642 مشاهدة
0
766
تم نشره في 2021/06/26

الفئة

الكلمات

عرض المزيد

تعليقات - 158
  • @
    @vasboy-tz24423 years ago Kimeumana mpaka wajuwe wewe ni mfalme the king👑👑👑 5
  • @
    @khamisshee51313 years ago Kimeeeee uuuuuuuumanaaaaaaa
    🇰🇪🇰🇪🇰🇪
    aka bachuchu mombasa 001
    🇰🇪🇰🇪🇰🇪
    15
  • @
    @popiya23683 years ago Aisee Alikiba atanaki on top always. Sauti ni MashaAllah! Soothing voice no objections. Kiumeumana! Nyimbo nzuri bila kuwa uncomfortable to listen 3
  • @
    @goddwynngereza45203 years ago King wa ukweli ndio huyu!! Real appreciate you KIBBA
  • @
    @pizzaz43333 years ago Nyimbo mbili tu watu wame panic! 😂 KING kama KING 🙌🔥🔥 10
  • @
    @kreamagdfsa16973 years ago Nilisema mm KING👑 anakuja kuuwasha 🔥🔥🔥 3
  • @
    @innobugobola16943 years ago Nategemea bonge la video King Kiba Salute kwa sana ✔️✔️✔️✔️✔️!!!
  • @
    @rajabubojoo94673 years ago kimeumanaaaaaa📢📢📢📢📢📢 3
  • @
    @zainabubakari60553 years ago Kimeumanaaaaaaaaaaaa NDOMBOLO FT SALUTE ndio.habari ya dunia kwa sasa 2
  • @
    @fatmasalima38473 years ago Love you so much Ali kiba the👑❤❤❤❤❤❤❤❤❤ 3
  • @
    @RamazaniMulongeca3 years ago 😂😂😂. Wameisoma namba, sio kwakuwakurupusha huko... WAMEPATWA NA MHAOOOOOO🤣🤣🤣🤣🤣
    SEMA KIMEUMANA😂🤣😂
    4
  • @
    @emmanueljoseph25763 years ago Kimeumana kweli hasa kwa baba na mwana patamu hapo acha bifu liendeleee tu kwani sh ngapi 10
  • @
    @Ray-vk7bp3 years ago ni vile mtu aelewi hii mtu imepata platform warmer music ikitoa album itakuwaje😂😂😂😂 naona kama watu wanaenda kupotea 6
  • @
    @anga360updates43 years ago Et wafalme the king is one n is there to stay
  • @
    @mwljuliuskiwovele2233 years ago Daaa Alikiba sio Mtu wa skendo anapofanya kazi zake ,sasa ngoja tuone watafika wapi aisee hao wanaojibizana ,Baba na Mwana,ila Harmonize anajishushia brand yake kwakuwa ilitakiwa atoe ngoma na atulie 1
  • @
    @jumambarouk3 years ago Hii ni kweli kimeumanaaaa yani namanisha upande wa pili wamepa mihaho 2
  • @
    @abakuriatv33513 years ago Alikiba and rude boy Vs diamond platnumz 2
  • @
    @mdalamgir-gu9hu3 years ago Jamaa kaingia kwa award na nguo za kimasai dat y kimeumana...
  • @
    @abdulazizabdallah98203 years ago Tengua kauli MFALME ni mmoja tu KING KIBA sio "wafalme"usituzingue bwana 2
  • @
    @mpendwalove43903 years ago Anatupa madongo but hajui kama Kamata ndo wimbo ambao unafanya vizuri kwenye platform nyingi sana
  • @
    @sadikilumumba13703 years ago From Nashville Tennessee USA. Kwahili linalo hendelea kwawasanii hifike wakati sisi mashabiki. Tuhache utimu tuwashabikie wote kama ilivo kuwa zamani. Pia hawa machawa ndio wana tuchanganya sana. Una kutachawa anapewa gari sababu ya watukana wasanii wengine.tanzania mashabiki tujitambuwe kwa sasa. ... 3
  • @
    @JUNIOR-td2tw3 years ago Alie ona panya akifumuliwa baruti tujuane 2
  • @
    @blastingpaintingservice85383 years ago Zuzu Likuzuzuka Bac Zuzuka Nalo....King Kiba kaenda na Msemo huu🤣🤣🤣 1
  • @
    @diamondplatnumz62743 years ago Kimeumana afu mzee usiseme wafalme sema mfalme
  • @
    @hailinhelen46753 years ago Tanzania kumoto mpaka raha edeleeni hivi msistop kabisaa mwisho kutaneni uwanja wa taifa mpigane mangumi kisha muhishimiyane vizuri.. 1
  • @
    @kimsarahfahyma56043 years ago Madale kunawatu tutawakuta mushwari🥴😀 roho mbaya sipati picha mungu wangu muni pumuzisheni kidogo jamani kwani nyie hamchoki mimi uku swiden moyo kwatu bongo kulivyo changamka wachonganishi mpo😀 semeni tena kimeumana kwa kelele 3🙌😀😆🥺 ... 2
  • @
    @kreamagdfsa16973 years ago KING👑 wangu mbona unaniangusha usifanye hivyo mm kama shabiki yako wa damu sijapenda hii
  • @
    @selemanjuma15953 years ago Kamata hao wanaotaka kuumana Kisha tuwaweke sero sisi huku hatuwezekani 1
  • @
    @khamismbaruk00173 years ago Kusema ukweli Alikiba ndio msani mkumbwa sana amerudisha heshima kwa bongo music ipo juu sio kuimba miziki ya watu wa congo na mpopo.popo 1
  • @
    @babylonyNgwembe3 years ago TANGU DIAMOND AZIME DATA JAMAA ANAANGAIKA SANA KUJIBUST MWSHO ANAJIKUTA KIKI NA TRENDNG NI DIAMOND SO WACHA AJIBUST TU. 1
  • @
    @Ascanmelody3 years ago Apo poa simunakaa ngabo moja SnS
  • @
    @zachariamachibola29413 years ago Unakosea kusma wafalme wakati mfalme ni mmoja tu king kiba
  • @
    @4dakulture6513 years ago Mbona amevaa kama jeshi...si jeshi ni mmoja 2
  • @
    @martinaloo54443 years ago Ile ngoma ya Diamond si poa hata kidogo. Grammy ataionea viusasa. Hizo mchezo ndogo za aibu aachie Harmonize akitaka kufika level za WizKid. Standards! 3
  • @
    @simulizi26323 years ago SKY huwezi support hiyo video ya panya kumbuka kuna haki za wanyama na huyo Alikiba kama anauongozi mzuri wasingemshauri kuiweka. Maana anaweza kosa deals kubwa tu kwasababu hizi post. Hapo kakosea ila nyie watangazaji hamlioni hilo😳 ...
  • @
    @nabowatz38683 years ago Yan huwez amin diamond hana roho mbaya yani ata apendi wenzake wawe maboss mbn Kama pesa anazo bdo anatak awadidimize wenzke yana ata sitak nikutane na uyo kiumbe nimemchoka matendo yake sio yakuigwa kbs Kama ana watoto sa subil watoto wake wakue thn tiwatese na sisi duh uyu mondi acha apotee ndo tutakuw Kama wanaigeria Mana game litakiwa la wote sio shetani m1 ... 5