Mbunge wa Kawe, Askofu Josephat Gwajima ni miongoni mwa Wabunge ambao leo February 4 2021 wamechangia mjadala kuhusu hotuba ya Rais John Magufuli aliyoitoa wakati akizindua Bunge la 12, Askofu Gwajima amesema mgawanyo wa usimamizi wa barabara nchini hauendani na kiwango cha mgao wa asilimia 30 ya fedha za barabara wanazopewa.
الفئة
عرض المزيد
تعليقات - 323
@
@ericklaura7511منذ 3 سنواتthank hon Gwajima for the poweful insight 13
@
@joycecharles7821منذ 3 سنواتEducation is the key of mind. Bigup Gwaji 8
@
@paschalrutashoborwa7976منذ 3 سنواتAhsante sana mhe_Askofu Gwajima kwa kutetea barabara ndani ya miji,manispaa kutengewa bajeti nzuri ili ziweze kutengenezwa, na huko ni maeneo ambako watu wanaishi,pamoja na shughuli nyingi za kilimo,ufugaji,bihashara. 10
@
@oscarmwakisyala17منذ 3 سنواتMmm,! Gwajima boy. You have got an international representation from your speech. Congratulation. 1
@
@mpogomialexandermussa248منذ 3 سنواتHongera mheshimiwa Gwajima kwa hotuba yenye kiwango na ubora, 7
@
@mchomvuelias64منذ 3 سنواتThis is lecture, which I think is necessary. 1
@
@fatumahassan8212منذ 3 سنواتHuyo ndiyo mheshimiwa Gwajima naimani utatenda haki kwa wananchi wa kawe una uelewa mpana big up Mheshimiwa Gwajima. 16
@
@peterkatete5645منذ 3 سنواتHon. Dr Gwajima nimekwelewa ningekuwa mimi ningekuweka kwenye kamati ya hukohuko Talula. Asante mwalimu kwa lecture.
@
@jabalimikechi7750منذ 3 سنواتWow I didn't know this man of God was this bright.kawe wana bahati sana na tz piya 9
@
@angelqwaray9174منذ 3 سنواتHongeraa askofu kweli ndani yako unaroho wa Mungu waombee bunge la 12 itakuwa takatifu baba mzuri sana wewe 12
@
@josephkasika6755منذ 3 سنواتSmart Guy, niongezee pia Joseph Nye alifafanua vizuri zaidi kwenye Strong Power or Hard Power, Soft power na Smart power kuednelea world power from western to eastern Asia. 2
@
@furahafrank8267منذ 3 سنواتWewe unaweza hii kazi kila siku unaongea point. 35
@
@gilukwayoegine3145منذ 3 سنواتhow can some one dislike this sense point like this? it means some people they 're enemies of success! 10
@
@marcondokeji8982منذ 3 سنواتHongera sana mheshimiwa Gwajima, you speak point always. 4
@
@haysanhassan2685منذ 3 سنواتGwaji confidence ya kutosha kama yupo bungeni miaka 30 iliyopita 7
@
@aishaasumany561منذ 3 سنواتMashaallah wwe uko sawa umemshinda mpaka mama samia mashaallah mungu akueke nahasidi
@
@zariadunia6328منذ 3 سنواتMbunge sahihi kea wakati sahihi sikutegemea Kama Askofu Gwajima atakuwa kifaa Kama hivi Gwajima Asante Sana mh you are a smart MP 5
@
@miriammollel1755منذ 3 سنواتGod bless you servant of living God. Gwajima boy.
@
@francisrobert9652منذ 3 سنواتAskofu Gwajima unatisha ulikuwa wapi siku zote upo strong kawe wamepata mbunge big up unapoongea unaeleweka 1
@
@gracekagoma3231منذ 3 سنواتNdiyo faida ya kuwa na wabunge wasomi.Gwajima Ahsante Sana
@
@ezrashemayo9092منذ 3 سنواتGwaji boyyyy ana vitu vyake personal yani huwez vipata bila kufukunyua 23
@
@doreenfrancis6977منذ 3 سنواتHongera Sana mweshimiwa kwa hoja nzur naimani maendeleo ya Jimbo la kawe yapo karibu Asante Yesu
@rehemandam2366منذ 3 سنواتYaani Gwajima ni mtu mnafiki sana hapa Tz.
@
@christopherhadson7743منذ 3 سنواتHahahahaaaa ikumbukwe kuwa mbunge ni cheo kidogo sana leo je nibora ukasema mungu yupo ukafika hayupo klko kusma mung haypo ukafka anakusbr hatr sana mtumish
@
@rehemacharles6159منذ 3 سنواتBunge linanoga sana tukiwa na viongozi kama hawa 6
@
@peterphillipo6477منذ 3 سنواتVery nice smart Hon. JOSEPHAT GWAJIMA, mapepo na wachawi tu ndio hawakupendi 5
@Hillary_Daudi_Mremaمنذ 3 سنواتRaisi Magufuli is Smart Power = Strong Power + Soft Power. 3
@
@evancemakusa9350منذ 3 سنواتMiaka ijayo njoo kibamba nakukubari Sana 10
@
@abelmtachoka7597منذ 3 سنواتGwajima kichwa aseee,!! Mmmh! Points tupu!
@
@noonelike6382منذ 3 سنواتAhhhhhhjjjj. Muheshimiwa sijapennda ulipo mkatisha gwaji. Alikuwa anakwenda patam kinyama yani . dahhhh. Kaishia Neno korona dahhhh 2
@
@hizim6699منذ 3 سنواتWalikua wanakuita gwajiboy mhe, maisha haya
@
@expert5898منذ 3 سنواتHamna kitu hapo. Yeye ni kusifia tu! Hana issue zozote za maendeleo ya taifa. Boya tu huyo.