المدة الزمنية 24:37

Ebitoke akiri kuivunja ndoa ya Mama Ashura, 'Nilikosea sana' Achekelea Ben Pol na Anerlisa kuachana

بواسطة Simulizi Na Sauti
42 517 مشاهدة
0
381
تم نشره في 2021/05/10

Ebitoke anasimulia safari ya maisha yake kuanzia kuwa mfanyakazi wa ndani Mwanza hadi kuja Dar kutafuta maisha na kujiunga na kundi la Timamu. Pia anaeleza jinsi anavyojutia kuivunja ndoa ya Mama Ashura. Kwa upande mwingine anaelezea hisia zake baada ya kusikia taarifa ya kuvunjika kwa ndoa ya Ben Pol na Anerlisa #ChillnaSky

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 191