Pesti ya Pilipili boga na Nyanya
Nyanya za kiasi 2
Pilipili boga nyekundu 3
Kitunguu 1 kikubwa
Pilipili ya kuwasha (Kama utapenda)
Chembe 8 za kitunguu thom ( kama utapenda)
Tangawizi mbichi kiasi
Curry Powder
Mbegu za giligilani vjk 2 vidogo
Mbegu za rai/haradari kjk 1 kidogo
Bizari nzima /uzile Kjk 1 kikubwa
Bizari tamu nusu 1/2 kjk kidogo
Pilipili manga nzima kjk 1 kikubwa
Karafuu nzima nusu ½ kjk kidogo
Hiliki nzima Kjk 1 kikubwa
Mdalasini vijiti 2 au ya unga kjk 1 na ½
Tangawizi ya unga kjk 1 kidogo
Bizari ya manjano kjk 1 kidogo
Pilipili ya unga kjk 1 kidogo
Pilipili ya paprika kjk 1 kidogo
Kungumanga ya unga robo ¼ kidogo
Mahitaji ya wali
Vijiko 2 vikubwa mafuta ya kupikia
Kitunguu 1 cha kiasi kilokatwa (gawanya x 2)
Majani 2 bay leaf makavu
majani ya saatari mabichi au makavu Kjk 1
Bizari za mchuzi kjk 1 na ½ mpka 2
Tangawizi mbichi ya kusaga Kjk 1 kikubwa
Paste ya pilipili boga na nyanya kikombe 1 ¼
Nyanya nzito ya mkebe kjk 1 na ½ kikubwa
Vikombe 2 ½ mpka 3 vya supu ya kuku ilokolea
Vikombe 2 mchele
Chumvi kiasi
Aroma of Zanzibar social media
https://www.instagram.com/fathiya.ismail/https://www.facebook.com/aromaofzanzibar/
Video intro Zanzibar Spice Market by Farhat Abbas /results?search_query=farhat+yummy
Video Intro Mombasa spice market by Chef Farouk Amboka
https://www.instagram.com/faroukamboka/?hl=en
Music courtesy https://soundcloud.com/beatoj/contemplative-middle-east-oud-improvisation
This is English and Kiswahili channel where you will find cuisine from around the world